![cover of the book Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili](/covers/files_200/3757000/6ccf3e3433f79a5eb6c707bec8db08e7-g.jpg)
Ebook: Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili
Author: Assumpta K. Matei
- Year: 2011
- Publisher: Oxford University Press
- Language: Kiswahili (Swahili)
- pdf
"Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili kimeandikwa kwa lengo la kumfafanulia mwanafunzi tanzu na vipera vya fasihi simulizi kwa njia angavu na nyepesi.
Muhitaji yote ya silabasi ya shule za upili yameshughulikiwu kwa kina.
Mada zimejadiliwa kwa lugha rahisi na mifano anuwai ya uchanganuzi kutolewa.
Yapo maswali yaliyotolewa mwishoni mwa mada. Maswali haya yanatahini stadi zote za ufumbuzi. Mwishoni mwa kitabu kumetolewa majibu ya baadhi ya maswali ya mazoezi."
Muhitaji yote ya silabasi ya shule za upili yameshughulikiwu kwa kina.
Mada zimejadiliwa kwa lugha rahisi na mifano anuwai ya uchanganuzi kutolewa.
Yapo maswali yaliyotolewa mwishoni mwa mada. Maswali haya yanatahini stadi zote za ufumbuzi. Mwishoni mwa kitabu kumetolewa majibu ya baadhi ya maswali ya mazoezi."
Download the book Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili for free or read online
Continue reading on any device:
Last viewed books
Related books
{related-news}
Comments (0)